Mashine Yakusaga Na
Kukoboa 2 In 1.
-Faida Za Mashine Hii
🔻Inakazi Mbili Inasaga Na Kukoboa Kwa Wakati
Mmoja.
🔻Inarahisisha Kazi Na Kupunguza Gharama Za
Umeme.
🔻Inasaga Na Kukoboa Vitu Vingi Kama
Mahindi,Mchele,Ulezi Nk
🔻Inauwezi Wakusaga Kilo 300Kwa Saa Na Kukoboa Kilo 180/
Saa.
🔻Nzuri Sana Kwa Kazi Na Inatumia Umeme
Mdogo Wa Majumbani 220V.
🔻Ni Portable Na Rahisi Kuhamishika Na Inauzito
Wa Kilo 75 Tu.
🔻Inatumia Motor Moja Yenye 3000Wats.
Specification:
Inakazi mbili Inasaga na kukoboa kwa wakati
Inauwezi wakusaga kilo 300kwa saa na kukoboa kilo 180/ saa.
Ni portable na rahisi kuhamishika na inauzito wa kilo 75 tu.