Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Mashine Yakusaga Na Kukoboa 2 In 1.

Tsh 2,288,500

Product Details:

Mashine Yakusaga Na Kukoboa 2 In 1. -Faida Za Mashine Hii 🔻Inakazi Mbili Inasaga Na Kukoboa Kwa Wakati Mmoja. 🔻Inarahisisha Kazi Na Kupunguza Gharama Za Umeme. 🔻Inasaga Na Kukoboa Vitu Vingi Kama Mahindi,Mchele,Ulezi Nk 🔻Inauwezi Wakusaga Kilo 300Kwa Saa Na Kukoboa Kilo 180/ Saa. 🔻Nzuri Sana Kwa Kazi Na Inatumia Umeme Mdogo Wa Majumbani 220V. 🔻Ni Portable Na Rahisi Kuhamishika Na Inauzito Wa Kilo 75 Tu. 🔻Inatumia Motor Moja Yenye 3000Wats.

Specification:

  • Inakazi mbili Inasaga na kukoboa kwa wakati
  • Inauwezi wakusaga kilo 300kwa saa na kukoboa kilo 180/ saa.
  • Ni portable na rahisi kuhamishika na inauzito wa kilo 75 tu.
  • Inatumia motor moja yenye 3000wats.

Item Details:

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com