Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Mashine Yakusaga Na Kukoboa 2 In 1

Tsh 2,400,000

Product Details:

Mashine Yakusaga Na Kukoboa 2 In 1 -Faida za Mashine hii -Inakazi mbili Inasaga na kukoboa kwa wakati mmoja. -Inarahisisha kazi na kupunguza gharama za umeme. -Inasaga vitu vingi kama mahindi,mchele,ulezi ,mihogo, kawaha na nafaka zote kavu -Inakoboa mahindi, mpunga, mtama . -Inauwezi wakusaga kilo 300kwa saa -Nzuri sana kwa kazi na inatumia umeme mdogo wa majumbani 220v(single phase) Milioni mbili laki nne Mashine iko complete tayari kutumia . Wateja wa mkoni wanatumiwa kwa gharama za mteja Tupo Dar es salaam kisutu .(Morogoro road na Indian street)

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com