Tanzania's Marketplace For Products & Services
Kifaa cha kupiga shot mita 5 KIFAA CHA KUPIGA SHOT ✴️Una chaji ndo unatumia ✴️Unaweza tumia kama Toch ✴️kinapiga shot mpaka mtu analegea ✴️Ni ulinzi tosha kwako ✴️Kama unakaa sehemu yenye msongamano au vibaka hichi ndo kiboko Yao