Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Mbao Buguruni Chama

Tsh 800

Product Details:

Karibu Sana kwa huduma ya mbao za kupaua zenye dawa (treated) Tuna mbao ndefu za urefu wa ft 18,19,20....hizi tunauza kwa futi ambapo Bei zake ni 2x4 sh 800 kwa futi 2x2 sh 400 kwa futi Na tuna mbao yenye urefu wa futi 12 hi tunauza kwa Kila mbao 2x4 sh 7000 kwa pc 2x2 sh 3800 kwa pc Fishabord 1x8 sh 13000 1x10 sh 18000 Karibuni Sana Discount ipo kutokana na pcs unazohitaji

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com