Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Mashine ya kusaga majani na magunzi

Tsh 2,500,000

Product Details:

Mashine ya kusaga majani na magunzi ya ng'ombe na nguruwe kwa saa moja inasaga tan 5 za majani Inatumia umeme au engen ya mafuta Kwa saa moja itatumia unit 5-7 Kwa mafuta ni Lita 2 kwa saa Bei million 3.5 ndogo Millioni 2.5 Tuko Arusha mianzini Tembelea peg yetu @RevoEnginering5

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com