Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Animal feed mixer (Mashine ya kusaga vyakula vya mifugo)

Tsh 6,500,000

Product Details:

Animal feed mixer Mashine hii ni kwajili ya kusaga na kuchanganya vyakula vya mifugo kama vile kuku wa kisasa ,kuku wa kienyeji, ngombe wa maziwa, nguruwe, mbwa nk Mashine hii inasehemu kuu mbili- 1:kusaga -feed mill 2:kuchanganya-feed mixer Matumizi 1:Kisagio( feed mill) Ndio utaweka Mali ghafi zote unazotegemea kusaga kutokana na chakula unacho tengeneza. 2:kuchanganya (feed mixer) Ndio inayo pokea kutoka kwenye kisagio baada ya kusaga ili ichanganywe Aina za mashine 1:nusu Tan 2:Tan moja 3:Tan moja na nusu 4:Tan mbili 5:Tan tatu

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com