Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Mashine ya kuhesabia hela (Bill Counter Machine)

Tsh 300,000

Product Details:

Mashine ya kuhesabia hela Bill Counter Machine -Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services -Upgrade ofisi yako iwe ya kisasa zaidi kwa kujipatia hii mashine ya kuhesabia hela ili uweze kuwahudumia wateja wako kwa haraka na ufanisi mkubwa -Mawakala wa Mpesa, Tigopesa etc hii sio ya kukosa kwenye ofisi zenu -Inahesabu milioni moja kwa sekunde kumi tu -Hii itakusaidia kugundua noti feki, hela zilizochanika na ambazo zipo katika hali mbaya -Ni rahisi sana kuitumia, na itaifanya ofisi/biashara yako iwe ya kisasa zaidi na utendaji kazi utakuwa wa ufanisi zaidi - Waranty mwaka mmoja Tupo dar es alaam- kariakoo Kwa wateja wa dar free delivery . Mikoani unatumiwa

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com