Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Miliki kiwanja chako Bei poa kulipia ata kwa awamu

Tsh 1,000,000

Product Details:

Miliki kiwanja chako Bei poa kulipia ata kwa awamu Viwanja vinauzwa mbagala chamazi mbande ulipo uwanja wa azam complex Gali moja kutoka mjini nauli mia sita au mia nne ukishuka stend pikipiki elufu moja adi sait njoo ukague kwanza ujilizishe. Uduma zakijamii zipo Kama maji✓ shule✓ umeme✓ hospital✓ balabala✓ Ukubwa waviwanja na Bei zake 30 kwa 50 milioni 1 40 kwa 50 milioni 1,3 50 kwa 50 milioni 1,5 Unaweza kuunganisha kulingana na uwezowako malipo unaweza kulipia ata kwa awamu byashala zetu zinafanyika office ya selikali ya mtaa kwamawasiliano zaidi piga simu

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com