Miliki kiwanja chako Bei poa kulipia ata kwa awamu
Miliki kiwanja chako Bei poa kulipia ata kwa awamu
Tsh 1,000,000
Product Details:
Miliki kiwanja chako Bei poa kulipia ata kwa awamu
Viwanja vinauzwa mbagala chamazi mbande ulipo uwanja wa azam complex Gali moja kutoka mjini nauli mia sita au mia nne ukishuka stend pikipiki elufu moja adi sait njoo ukague kwanza ujilizishe.
Uduma zakijamii zipo Kama maji✓ shule✓ umeme✓ hospital✓ balabala✓
Ukubwa waviwanja na Bei zake
30 kwa 50 milioni 1
40 kwa 50 milioni 1,3
50 kwa 50 milioni 1,5
Unaweza kuunganisha kulingana na uwezowako malipo unaweza kulipia ata kwa awamu byashala zetu zinafanyika office ya selikali ya mtaa kwamawasiliano zaidi piga simu