Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Mfumo wa usimamizi wa Biashara

Tsh 50,000

Product Details:

Salesplus ni mfumo wa kidigitali unaomuwezesha mfanyabiashara kufanya shughuli zake kisasa mahali popote na wakati wowote. Shughuli kama kudai madeni, kufahamu idadi ya bidhaa zilizopo, kufahamu bidhaa zinazokaribia kuisha , kufahamu kiwango cha faida kilichotengenezwa kwa siku, wiki, mwezi au mwaka ukiwa mahali popote , kufahamu hasara zinazojitokeza kwenye Biashara yako ikiwa ni uharibigu wa bidhaa au matumizi mabaya na mengine mengi. Wasiliana nami kupitia mawasiliano yafuatayo ili kujua zaidi. Email: [email protected] Simu: 0710012585

Item Details:

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com