Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Shuka 2 na foronya 2

Tsh 18,000

Product Details:

Sasa ni muda wa offer kwa mkoa wa DODOMA. Ninakuletea mashuka mazito mazuri na bora kabisa kwa bei ya punguzo 🇹🇿.. Unapata shuka 2 na foronya 2 Aina ya material ni pamba (full cotton) Size: 5/6 Mzigo upo DODOMA Ntyuka mwanzo wa maduka. Ukiwa Nyuka, Mkalama au mitaa ya UDOM nakufikishia hadi mlangoni (free delivery).

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com