Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Shuka Zenye Pazia zake na Foronya zake

Tsh 100,000

Product Details:

Shuka Zenye Pazia zake na Foronya zake Karibu tukupatie Shuka zenye Pazia zake na Foronya zake (10PC set) Shuka 2 Pazia 4 Foronya _Kwa wateja wetu wa Dar tuna delivery Gharama kuanzia 3000-5000 inategemea na maeneo unayopatikana na unalipa baada ya kupokea mzigo. _Kwa wateja walio mikoani unatutumia Pesa ya mzigo na usafiri tunakutumia au unaweza kumtuma mtu unayefahamiana nae huku Dar akaja dukani kwetu kuchukua mzigo alafu akakutumia. Kwa Maelezo zaidi wasiliana nasi

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com