Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Mabati

Tsh 16,666

Product Details:

Tunauza Mabati bora ya kisasa yasiyopauka, kutoka Kampuni za ALAF, SUN SHARE na KIBOKO Kwa bei ya punguzo moja kwa moja kutoka Kiwandani. Tunayo Mabati ya M-south (Migongo mpana), Bei kwanzia 16,666/= hadi 8,500/= Kwa mita 1 Tunayo Mabati Vigae(Versatile), Romantile Bei kwanzia 19,638/= hadi 14,800/= kwa mita 1 Tuna Mabati ya kawaida Migongo midogo ya rangi na meupe, Bei kwanzia 29,000/= hadi 20,000/= kwa Bati moja la mita 3 Tunayo Misumari ya Bati ya rangi, Kofia na Valley. Tunapatikana Buguruni Chama DSM Kwa mawasiliano Piga au tuma ujumbe wa kawaida au WhatsApp

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com