Post Your Ad

Tanzania's Marketplace For Products & Services

Car alarm security system

Tsh 120,000

Product Details:

Jipatie alarm kwaajili ya ulinzi na usalama wa gari yako zenye ubora kwa gharama nafuu. Alarm zetu bei ni kuanzia 120,000/= warrant miezi sita 150,000/= warrant mwaka mmoja 180,000/= warrant miaka mitatu 280,000/= warrant miaka mitano. Kwa wateja wa Dar tunakufuata na kukufungia ulipo bila gharama za ziada wala usumbufu wa aina yoyote. Tunakuhakikishia ubora ktk bidhaa zetu na pia tunao mafundi wa uhakika ambao watahakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili chombo chako kibaki salama.

Do you Have Something To Sell?

Post your ad on dilizote.com