Vnus Max 12 Ram 4Gb Storage 64Gb Simu Ni Mpya Kabisa Full Sealed Box Ram 4Gb Storage 64Gb Camera 13Mp Network 4G Battery 4000Mah
Vnus macho ma 3 zimerudi tena. Vnus s14 gb 32 Ina kava na protector yake Ni mpya unapewa na risiti Tupo Arusha stand kubwa
OTG za type c na za sim za android za kawaida zipo 1=2000 karibu 1=2500 ya waya Charger pia 8500 Dar es Salaam Airport
Mini-bluetooth earphones Inapokea simu Unaplay music Inachajiwa na unakuja na usb yake Inadumu na chaji kwa masaa 3-4 Delivery kwa dar ipo
ISECURE TECHNOLOGY tunawaletea kifaa (sensor) za kwenye madirisha na kwenye milango. Kifaa hichi kitakusaidi kuweka ulini kwenye nyumba yako. Kifaa hichi kitapiga kelele pale dirisha au mlango utakapofunguliwa hivyo kuwa...
Ceiling fan size zote 24 inches 60,000 36 inches 80,000 54 inches 90,000 Usafiri ni bure kwa dar es salaam Ufundi elfu 10,000
The JBL GO 2 is a full-featured waterproof Bluetooth speaker to take with you everywhere. Wirelessly stream music via Bluetooth for up to 5 hours of continuous JBL quality sound. Making a splash with its new IPX7 waterproo...
Incubator Karibu Gson Engineering & Technologies,,,Ujipatie Incubator Bora Na Za Kisasa Kabisa ,,Tupo Mwanza Na Mikoa Yote Tunakufikia. BEI ZETU MAYAI 126 auto -LAKI 4 MAYAI 240 AUTO- LAKI 5 NA 50 MAYAI 264 AUTO -LAKI...
Kama Umechoka Kugombana Kuhusu Umeme Suluhisho Ili Hapa Zijue Sub Meter Za Kutumia Unit Zako Tu(Umeme Wako Tu) kuna sub meter za aina 2 1. kusoma unit tu. hii ni 25,000 2. KUTUMIA UNIT ZAKO TU hii ni 140,000 hizi ni sep...
Fencing Wire Aya sasa karibuni FENCING WIRE BUSINESS tunatengeneza FENCING WIRE Kwa ubora mkubwa Sana'a Karibuni 2.0×5 ×12=72,000 mit 6,000 2.0×6×12=90,000 mit 7,500 Karibuni Sana'a tupo ARUSHA NGUSERO ( SOMBETINI) WASIL...
Incubators machine Tunauza mashine za kuatamia na kutotolea vifaranga kwa bei nzuri Tuna size zote ndogo mpaka kubwa Zinazotumia umeme Zinazotumia umeme na gas Zinazotumia solar na gas Warranty mwaka mmoja Tunapatikana Dar...
Christmass hii Usipikie tena chini jipatie meza za jiko kwa bei ya kawaida kabsa zipo kuanzia 50k inakuwa simple haina mlango 60k inakuwa na section tu alaf kuanzia 70k inakuwa na mlango mmoja kuanzia 85k mpaka 120k milan...
Karibuni kwa nyungo rejajareja 4500 na Jumla kwa 4000 kuanzia nyungo 5.. Napatikana mbagala kuu kijichi.
Boss Microwave Oven High Quality Microwave oven Tupo Arusha Stand ndogo mikoani tunatuma kwa bus kwa uaminifu na usalama zaidi
MRADI MPYA!! WAZO MJI MPYA. -Ni mradi mzuri na wa kuvutia sana. -Umbali ni 2km kutoka barabara ya lami. -Huduma za kijamii kama maji,umeme,shule zinapatikana kwa karibu. -Neighbourhood yake inavutia sana,watu wamejenga ...
Mapazia Pendezesha nyumba yako Msimu huu wa sikukuu Pazia Mita 1.5 ni 50,000 Pazia Mita 2 ni 60,000 Set nzima 110,000 MAHALI; Kariakoo Karibu sana
Sofa Repairing Tunabadilisha vitambaa masofa yaliyochakaa na kuludi kuwa mapya kwa bei poa tupo TABATA MUSLIM
Kabati Za Nguo Na Vyombo Zipo Mabingwa kutengeneza kabati za nguo na vyombo zipo tayari Tupo kinondoni karibu kwa kazi ya ukwel na uhakika
Vitanda Vya Mbao 4X6 5X6 6X6 na side beds (drawers) Mabingwa wa kutengeneza vitanda vya mbao Vipo tayari karibu kwa kazi ya ukwel na uhakika Tupo kinondoni
Meza za Tv (Tv Showcase) Tunatengeneza meza za tv zipo tayari Tupo kinondoni karibu kwa kazi ya ukwel na uhakika
Meza za Sebleni Tunatengeneza meza za sebleni zipo tayari Kinondoni karibu kwa kazi safi na wakati
Dininig Za Kisasa Mabingwa wa kutengeneza dininig za kisasa Karbu kwa kazi safi, ukwel na uhakika tupo kinondoni
Kava Za Magodoro waterproof hazipitishi mikojo,maji wala kimiminiko chochote 5×6 6×6 tupo Dar,Sinza madukan opposite na vunja bei
Kava Za Magodoro Waterproof Kava za magodoro hazipitishi maji yani kiboko kabisa hata bila kutandika shuka unalala (5&6)tsh 100000na (6&6) tsh 110000 ukihitaji nipigie simu au wasapu
Shuka Zenye Pazia zake na Foronya zake Karibu tukupatie Shuka zenye Pazia zake na Foronya zake (10PC set) Shuka 2 Pazia 4 Foronya _Kwa wateja wetu wa Dar tuna delivery Gharama kuanzia 3000-5000 inategemea na maeneo unayo...