Car Tracker/Locator Sifa kuu ya tracker hii inafanana na baadhi ya component zilizopo kwenye gari hivyo huna sababu ya kuificha, sababu wengi hata wakiiona hawatojua kama ni tracker. Unaweza kuitumia kama remote kill swit...
Gauni za harusi na accessories Sashu Beauty Point tunauza MPYA kwa bei nafuu kuanzia Tsh 250000 mpk 600000 na kishela/veil utapata bure. Pia tunauza maua 20000-30000 Gloves 15000 Crowns 20000-25000 Cheni na heren zake 1000...
150k unapikia unaweka na vyombo humo na chakula chako nipigie 0623011171 kwa mahitaji ya kitchen cabinet kali na za kijanja zipo za kuanzia 50k 60k 70k 85k 90k 120k 150k 180 tupo mabibo mwisho.
Electronic Heat Gun Heavy Duty High Performance Tupo kkoo mtaa narung’ombe na gogo
3D Door Marts Tunapatikana Ubungo Maji Karibu na kituo cha mwendo kasi. Dar delivery ipo na mikoa yote tunatuma.
Mazulia aina zote Kwa muonekano bomba Wa nyumba yako Ft6**10=90000 Ft8**12=130000 Ft10**12=140000 Ft12**12=150000 Extra Popote mzigo unafika DSM free delivery
Feni nzuri za panga boy Nauza feni nakufunga . Feni ya panga boy. Ndogo tsh 50000/= Saizi ya Kati tsh 70000/= Kubwa tsh 100000/= Kufungiwa feni tsh 30000/=
Ailyons kettle lita 1.8 delivery ni free tunapatikana soko jipya la,machame luxury
mabati Aina zote Wauzaji wa mabati ya Rangi Aina zote migongo mikubwa kwa midogo Pia tunauza na misumari ya Rangi Aina zote tunapatikana Rwagasore mwanza pia tunasafirisha kwa wateja wetu wanaoitaji kusafirishiwa tupigie...
Kabati za Nguo Tunauza kabati aina zote Tupo mwananyamala A. Milango miwili 290,000 Milango mitatu 390,000 Milango minne 590,000
Nauza vitanda vizuri na magodoro. Vitanda vya chuma. Vitanda vya mbao. Pia vya sofa vipo. Unapata kitanda na godoro lake. Nipo kinondoni Biafra
Pc Games Gta 5 , Gta 4, Pes 2017, Fifa 2017 , Watchdog 1, Watchdogs 2 , Forza Horizon 4 , Need For Speed Payback ,Need For Speed Rivals , Need For Speed The Run, Need For Speed Hot Pursuit 2010, Need For Speed Most Wanted...
Hii ni car security alarm ambayo Hufunga na kufungua milango ya gari yako kwa kutumia remote yake Ikiguswa hupiga kelele kukupa taarifa kuwa gari yako imeguswa Unapoingia kwenye gari ukiwasha na kukanyaga breki tu milango...
Car footlight Taa Za Urembo Hzi Zinazopendezesha Gari Zinazowaka Sehemu Ya Miguuni N Led Zinawaka Rangi 7 Tofauti Tofauti Unazicontrol Na Remote Na Unaweza Kuweka Rangi Unayoitaka Bei Ni Shilingi Elfu Arobaini Na Tano(450...
Car horn. Haya zile honi zenye sauti kalii kama ya brevis,crown na harrier zipo sasa Kwa elfu 25 tu Tupo ubungo maziwa ila mkoani tunatuma For more call/whatsapp
Ni Air Fresh Ambayo Unaweza Itumia Kwenye Gari Ofisini Nyumbani Bafuni Yaani Popote Ina Harufu Nzuri Sana Na Inakaa Kwa Muda Mrefu Sana Hii Utaipata Kwa Elfu 25 Tu Mikoani Tuna Tuma
Tawa Water Proffesional... ni wachimbaji wa Visima vya maji pia wanafanya utafiti wa maji chini ya ardhi yaani ( Geopysical survey) kwa ghalama nafuu kabisa. Ukichimba na sisi unawekewa bomba Upvc na pampu bure pamoja na T...
Natengeneza Vitanda Vya Chuma Vipya Kabisa Bei Rahisi 150000 Ofisini Kwangu Ni Riverside Ubungo Napatikana Pia Tunapokea Oder Tofauti Tofauti Kulingana Na Mteja Anavyotaka
Tangastone Tunauza na kusambaza TANGASTONE nchini kote kwa rangi tofauti zitakazo ipa nyumba yako muonekano nadhifu na wa kuvutia kwa bei nafuu isiyo na mpinzani. 1.Tsh 28,000 per Sqm kwa ( BLACK TANGASTONE) 2.Tsh 30,000 ...
Marble wallpaper Je umechosha na uchakaaji wa makabati,meza,viti nk au unataka kubadilisha muonekano wa vtu vyako? Ondoa shaka mkombozi amepatkana bandika wallpaper sticker ili kubadilisha muonekano na uwe wa kisasa zaidi ...
air cooler tuna lita 8 na lita 12 Hii ni suluhisho la joto kama dar tunavyoijua ina system km ac upepo wake una asili km wabaridi Warranty mwaka mzima Free delivery Contact WhatsApp K/koo msimbazi street Pia tuna bidhaa...
Fundi mtaalamu wa 1.Kupaka rangi majumbani/maofisini 2.KuwekaTiles za Ukutani na Sakafuni 3.Kufanya Skimming majumbani/maofisini 4.Kuweka Gypsum board/Ceiling Board majengo aina zote. Tunapatikana Dsm,Bei Zetu Nafuu Na Pop...
Tunauza na kutengeneza vitanda vya mbao original pamoja na chaga zake pia tunatoa delivery popote pale Tanzania na nje ya tanzania